Home » » WADAU WA MFUKO WA BIMA YA AFYA MKOA WA NJOMBE WAKUTANA LEO

WADAU WA MFUKO WA BIMA YA AFYA MKOA WA NJOMBE WAKUTANA LEO

Kaimu Mkurugenzi mkuu  wa NHIF Hamisi Mdee akitoa taarifa ya Utekelezaji ya kuanzia 2001 hadi June 2013,
Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF Balozi Ali  Mchumo akitoa salamu za NHIF kwa washiriki wa mkutano
RAS wa Njombe akisoma hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ktp. Mstaafu Assery Msangi, amesisitiza umuhimu wa kufanya NHIF/CHF/TIKA kuwa ajenda ya kudumu katika vikao vyote vya maamuzi mkoani humo ili hatimaye wakazi wote wa mkoa wa Njombe wapate huduma za matibabu kupitia utaratibu wa kuchagia kabla
meneja uendeshaji wa NHIF, Salome Manyama akiwasilisha mada katika mkutano huo, picha ya tano wadau wa mkoa a Njombe wakifuatilia mada..

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa