TANGAZO LA MAUZO YA NYUMBA ZA MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA (PSPF)


MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA
(PSPF)
 


MAUZO YA NYUMBA ZA PSPF
Mfuko unapenda kuwataarifu wananchi wote kwamba inauza nyumba zilizojengwa na Mfuko katika mikoa ya Dar es Salaam- Ilala (Buyuni), Morogoro (Lukobe), Tabora (Usule), Mtwara (Mang’amba) na Shinyanga (Ibadakuli).
Bei ya nyumba ni kati ya Tsh 59,000,000.00 hadi Tsh 80,000,000.00 (Bila ya VAT) kulingana na ukubwa wa nyumba na Mkoa nyumba ilipo.   Ukubwa wa nyumba ni kuanzia vyumba viwili hadi vinne. Fomu zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu tano (TShs. 5,000/=) kwenye ofisi za Mfuko zilizopo mikoa yote nchini.
Waombaji wanaohitaji kuona na kukagua nyumba wawasiliane na Mfuko kupitia namba 2120912/52 au 2127376.
“PSPF - Tulizo la Wastaafu”
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Mkurugenzi Mkuu,
Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF),
Golden Jubilee Towers,
Front Tower – Ghorofa ya 6-13,
Mtaa wa Ohio/Kibo,
S. L. P. 4843,
DAR ES SALAAM.
Barua Pepe: pspf@pspf-tz.org          


 Tovuti: www.pspf-tz.org  

KATIBU MKUU WA CCM ABDURAHMAN KINANA AWASILI

 

 
2
Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana ukiwasili mpakani mwa mikoa ya njombe na Iringa katika kijiji cha Idofi ambapo alikopkelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Njombe akitokea mkoani Iringa ambako aliwasili leo asubuhi akitokea jijini Dar es salaam akiongozana na Katibu wa Itikadi Siasa na Uenezi ndugu Nape Mosses Nnauye, Ndugu Kinana na ujumbe wake watakuwa ni ziara ya siku saba mknoani Njombe ambapo watatembelea wilaya za Njombe, Makete na Ludewa na Wanging’ombe wakiimarisha chama na kusikiliza matatizo ya wananchi, huku wakikagua miradi ya maendeleo katika kusimiamia serikali ili kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 3Katibu Mkuu wa CCM akiwasili mpakani mwa mikoa ya Iringa na Njombe akitokea mjini Iringa 5Katibu Mkuu wa CCM akivishwa skafu na chipukizi wa mkoa wa Njombe 7Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Ludewa Ndugu Deo Filikunjombe 8Ndugu Abdurahman Kinana akifurahia jambo na Deo Sanga Jah People Mbunge wa Njombe Kaskazini kulia ni Mbunge wa Mwibara Kange Rugora. 9Mjumbe wa Kamati Kuu na mbunge wa viti Maalum Mkoawa Njombe Pindi Chana akicheza na akina mama wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana 10Abdurahman Kinana akifurahia ngoza iliyokuwa ikitumbuizwa na kikundi cha ngoma cha mkoani Njombe huku Nape Nnauye akipiga ngoma 12
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akizungumza na wananchi wa mkoa wa Njombe mara baada ya kuwasili mpakani mwa mikoa hiyo katika kijiji cha Idofi.
1
Kikundi cha ngoma kikitumbuiza katika mapokeizi hayo
13
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana akiwa katika kikao cha kamatiya siasa mkoani Njombe kulia ni Deo Sanga Jah People Mbunge wa Njombe Kaskazini na kushoto ni Nape Nnauye Katibu wa Itikadi Siasa na Uenezi 14Baadhi ya wajumbe wa kaqmati ya siasa mkoa wa njombe wakiwa katika mkutano huo. 15
Baadhi ya wajumbe wa kaqmati ya siasa mkoa wa njombe wakiwa katika mkutano huo.

Soko la Mangula Makambako lawa maarufu kwa kuuza mboga za majani.



Soko la Mangula,Makambako mjini
 Njombe linazidi kuwa maarufu
 kila kukicha kwa kuuza mboga
za majani kwa wingi. 

Mama Joshua akipanga vizuri
 mboga za majani aina ya
figili tayari kwa kusubiri
 wateja,leo katika soko la
 Mangula,Makambako.
 Picha na Adam H. Mzee

DC MAKETE ASOMA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI WILAYANI MWAKE‏


Mkuu wa wilaya ya makete Mh. Josephine Matiro akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za serikali wilayani hapo kwa kipindi cha Januari-Aprili 2013 katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete leo Mei 20,2013
Hapa Mh. Matiro akitilia mkazo kuhusu wanafunzi wote kupata chakula mashuleni
Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya makete Bw. Idd Nganya akijibu hoja katika kikao hicho
Afisa elimu msingi wilaya ya Makete Antony Mpiluka akitoa msisitizo kuhusu wanafunzi kupatiwa chakula shuleni
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya makete Francis Chaula akichangia jambo katika kikao hicho
Afisa maliasili na Mazingira wilaya ya Makete Bw. Uhuru Mwembe akijibu hoja za idara yake ambazo zimeulizwa na wajumbe
katibu wa CUF wilaya ya Makete Bw. Joma Mwakisitu akiuliza swali
Msaidizi wa askofu KKKT dayosisi ya kusini kati Mch. Philemon Kahuka akiuliza maswali hsa kuhusu maji makete mjini
Katibu wa CCM wilaya ya makete Bw. Miraji Mtaturu akizungumza kuhusu barabara na mfuko wa jamii CHF
Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya makete Shaaban Mkakanze akichangia hoja kikaoni hapo
Mzee Masevela naye hakuwa nyuma kuchangia
Mwakilishi wa NMB Makete akizungumza
Mhandisi wa ujenzi wilaya Makete Eng. Samwel Ndoveni akijibu hoja za idara yake hasa usambazaji wa vifusi makete mjini ambapo amesema kazi itaanza kesho
Kaimu mganga mkuu wilaya ya makete Dk. Alexander akijibu hoja za idara ya afya
Afisa mtendajia kata ya Iwawa Festo Msigwa akishiriki kuchangia hoja
Washiriki wakifuatilia mambo
(picha zote na Edwin Moshi)

SHUHUDIA PICHA ZA TUKIO LA BOMU LILILOWALIPUKIA WANAFUNZI MAKAMBAKO.



 Baadhi ya Maeneo walimo jeruhiwa wanafunzi hao na Mmoja kupatwa na Mshtuko wa Mlipuko wa Mabaki ya Mabomu hayo kutokana na Tatizo lake la Moyo alilonalo na hivyo kupelekea wanafunzi Watano kulazwa Ilembula Hospitali.
 Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba akiwajulia Hali wanafunzi hao katika Hospitali ya Lutherani ya Ilembula.
 Mwanafunzi Evance Joseph[16]kidato cha Kwanza ambaye alikuwa akifanya Majaribio ya Kuchoma Mabaki hayo ya Bomu huku Mengine akiyahifadhi kwenye Tranka lake la Nguo.
 Wanafunzi wakiwa wanaendelea kufanyiwa Vipimo vya Mionzi ya Jua kutambua ukubwa wa Tatizo  katika Hospitali ya Ilembula Wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe.
 DC Njombe na Msafara Wake wakiwatazama Wanafunzi waliojeruhiwa na Mabaki ya Mabomu hayo.
 Mwanafunzi aliyejeruhiwa Katika maeneo Mbalimbali ya Mwili wake ikiwemo Miguuni.
 Hapa Mkuu wa Wilaya na Msafara wake ukiongozwa Na JWTZ Makambako.
 Msafara ukiwasili katika Shule ya Sekondari NABOTI Iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako.
 Wanafunzi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Njombe.
 Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari NABOTI Mara baada ya kutoka katika Hospitali ya Ilembula kuwajulia Hali wanafunzi Watano waliolazwa kwa Matibabu.
 Wanafunzi wa NABOTI Sekondari wakimsikiliza DC na Msafara wake.
 Na Gabriel Kilamlya Njombe.


Wanafunzi Wanne wa shule ya sekondari NABOTI iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Makambako wamejeruhiwa na Mlipuko wa Mabaki ya Bomu huku mmoja akipata Mshtuko wa Moyo kutokana na Mlipuko huo Baada ya Wanafunzi Takribani saba wa Kidato cha Kwanza kwenda kuyaokota Mabaki hayo kwenye Mlima uliopo Jirani na maeneo ya Jeshi.

HATIMAYE ENEO LA KUCHIMBA DAWA LA MAKAMBAKO LAPATA VYOO,LAKINI HALI YA UCHAFU NI TETE. SHUHUDIA

 HIKI NI CHOO CHA WANAUME
 HILI NI ENEO AMBALO MABASI YANASIMAMA ILI ABIRIA WAPATE CHIMBA DAWA



 HILI NDILO ENEO AMBALO WANAUME WALIKUWA WANACHIMBA DAWA




 HIKI NI CHOO CHA KUJISAIDIA KICHAFU SANA KINAWALAZIMU WATU WAENDELEE KUTUMIA MAPORI
  HILI NDILO ENEO AMBALO WANAWAKE WALIKUWA WANACHIMBA DAWA
 CHOO KIPYA CHA WANAWAKE
CHOO HIKI HAKUNA ANAYE KITUMIA KUTOKANA NA HARUFU MBAYA NA UCHAFU

PICHA NA BLOGS ZA MIKOA
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa