MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA ASKOFU MSTAAFU, MHASHAM RAYMOND MWANYIKA ILIYOFANYIKA MKOANI NJOMBE LEO.

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka shada la maua juu ya kaburi ya Askofu Mstaafu, Mhasham Raymond Mwanyika, wakati wa shughuli za maziko zilizofanyika leo katika Kanisa Katoliki Njombe.  Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya Askofu Mstaafu, Mhasham Raymond Mwanyika, wakati wa shughuli za maziko zilizofanyika leo katika Kanisa Katoliki Njombe.    Makamu wa Rais, Dkt Bilal, akitoa heshima za mwisho. Picha na OMR....

RAIS KIKWETE ATEMBELEA MGODI WA CHUMA WA LIGANGA,LUDEWA MKOANI NJOMBE

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa Meneja mradi wa Maganga Matatitu Resource Development limited Bw. Lawrence Manyama kuhusu mlima huo uliosheheni mashapu ya chuma alipotembelea eneo lenye utajiri wa chuma la Liganga wilaya ya Ludewa mkoani Njombe leo Oktoba 22, 2013. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na wawekezaji wa kampuni ya Sichuan Hongda ya China ambao ni wawekezaji katika eneo lenye utajiri wa chuma la Liganga wilaya ya Ludewa mkoani Njombe leo Oktoba 22, 2013. Kampuni hiyo inatarajiwa kujenga kiwanda cha kufua chuma mapema mwakani kitachajiri watu 32,000 kitakapokamilika. Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

ZIARA YA RAISI JAKAYA KIKWETE KATIKA MKOA MPYA WA NJOMBE

 Rais akitoka kuweka jiwe la msingi madarasa ya kidato cha tano shule ya sekondari lupalilo.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongea na Bi Sarah Mageni Sanga, mlemavu ambaye Rais alimpa pikipiki ya Bajaji pamoja na mtaji wa pesa taslimu wa shilingi milioni mbili October 28, 2009 baada ya kuguswa na mkasa wa maisha ya mkaazi huyo wa kijiji cha Lupalilo wilaya ya Makete mkoa wa Njombe alipomuona akohojiwa katika TV na kueleza kuwa maisha yake ni magumu mno baada ya ndugu na jamaa zake wote kuteketea kwa maradhi ikiwa ni pamoja na UKIMWI. Pichani Bi Sanga akimshukur Rais kwa msaada huo ambao amesema...

MFANYABIASHARA NA DIWANI WA KATA YA NJOMBE MJINI LUPYANA FUTE[Jacky's]AMEFARIKI DUNIA GHAFLA

Lupyana Fute enzi  za uhai wake akizungumza Kwenye Moja ya Vikao vya Baraza la Madiwani Enzi za Uhai Wake. ................................................................................................................... Na Mwandishi Wetu. Diwani wa Kata ya Njombe Mji Lupyana Fute  ambae  pia aliuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa NEC Wilaya ya Njombe amefariki dunia Ghafla Jioni ya jana mjini Njombe .Taarifa za awali toka kwa Mashuhuda wa tukio hilo Akiwemo Solanus Mhagama Amesema Kuwa Kwa Mara ya Mwisho Marehemu Lupyana Fute alimpigia Simu na Kumwambia amtafutia Gari la Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji Baada ya Moto...

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA RASMI CHUO CHA VETA MAKETE‏

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na viongozi wa VETA wakati akiwasili chuo cha VETA Makete kwa ajili ya kukizindua, kushoto kwake ni mkurugenzi wa VETA Tanzania Zebedayo Moshi  Rais kikwete akikata utepe kuashiria kukifungua chuo cha VETA Makete  Rais Jakaya kikwete akielekea kujiones shughuli zinazofanywa na VETA Makete katika majengo ya chuo hicho, katikati ni mkurugenzi wa VETA nchini Zebedayo Moshi, kulia ni mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro  Rais jakaya Kikwete akipata maelekezo kutoka kwa mwanafunzi wa veta makete kuhusu namna ya kutengeneza batiki  Rais jakaya Kikwete akipata maelekezo...

RAIS KIKWETE ASIMIKWA UCHIFU WA KABILA LA WABENA MKOANI NJOMBE

Rais Jakaya Kikwete akipokea Mkuki wakati akisimikwa Uchifu wa Kabila la Wabena na mmoja wa wawakilishi wa Wazee wa Kabila hilo,kwenye wa Hafla ya Uzinduzi wa Mkoa wa Mpya wa Njombe. Wazee wa Kabila la Wabena wakimsimika Uchifu Rais Jakaya Kikwete. Chifu Mpya wa Kabila la Wabena,Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia wakazi wa Mkoa Mpya wa Njombe. Chifu Mpya wa Kabila la Wabena,Rais Jakaya Kikwete akiteremka Jukwaani baada ya kusimikwa Uchifu wa Kabila hilo na kuwahutubia wananchi wa Mkoa wa Njombe. Rais Jakaya Kikwete akipongezwa na Mkewe Mama Salma Kikwete...

RAIS KIKWETE NAMNA ALIVYOFUNGUA KIWANDA CHA CHAI IKANGA WILAYANI NJOMBE.

Rais Jayaka Mrisho Kikwete akikagua sehemu mbalimbali za kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua Oktoba 18, 2013 Rais Jayaka Mrisho Kikwete aki furahi na mkurugenzi wa kampuni ya mufindi tea & coffee limited baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua Oktoba 18, 2013. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua sehemu mbalimbali za kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua Oktoba 18, 2013. Rais Jayaka Mrisho Kikwete akihutubia mkutano wa hadhara baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua Oktoba 18, 2013. Picha...

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA RASMI MKOA WA NJOMBE JANA.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibofya kitufe huku wazee wa Njombe wakirusha njiwa kuashiria kuzinduliwa rasmi mkoa wa Njombe leo Oktoba 18, 2013 katika Uwanja wa Sabasaba mjini Njombe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Maisha Bora kwa Watanzania hajawezi kuja kwa watu kushinda wanacheza mchezo wa pool badala ya kujihangaisha kwa kufanya kazi na shughuli nyingine za kujiingizia mapato.   Aidha, Rais Kikwete ameahidi kuwa Serikali yake itakomesha haraka iwezekanavyo kero ya wananchi wa sehemu za Mkoa wa Njombe kulazimika kupanda mitini ili kupata mawasiliano ya simu za mkononi.   Rais ...

Wavurugaji wa Katiba ,walimtaka JK asaini mswada pasipo kuangalia bada ya kutokuwepo nchini.

WAZALENDO NET.. JK awatibulia Wassira, Chikawe • Filikunjombe asema wanapaswa kuwaomba radhi wananchi na Waandishi wetu HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kukutana na viongozi wa vyama vya siasa vyenye wabunge na kuridhia muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya katiba urejeshwe bungeni, imeungwa mkono na wengi, huku mawaziri wake wakisutwa. Mawaziri hao ni Stephen Wassira (Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu), Mathias Chikawe (Katiba na Sheria) na William Lukuvi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge). Kwa nyakati tofauti baada ya vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi, kususia muswada huo bungeni waliwakejeli wakidai kuwa wanapoteza muda kwani safari hii hakuna nafasi ya kukutana na Rais Kikwete kama ilivyokuwa awali mwaka 2011. Mawaziri hao waliongeza kuwa...

Tingatinga likibomoa majengo makete mjini‏

 Tingatinga likibomoa huku kulia wakionekana wamiliki wa jengo hilo wakiokota masalia ya vitu wanavyoona vitawafaa kwa badaye  Masalia ya zoezi la bomoa bomoa yakipakiwa kwenye lori tayari kwenda kumwagwa mbali  Tingatinga likibomoa kuta za nyumba ambazo zipo kwenye hifadhi ya barabara Makete mjini Baada ya kumaliza kazi hapa linaondoka kuelekea eneo jingine(picha zote na EDDY BLOG) ...

TASWIRA YA MAONESHO YA UZINDUZI WA MKOA MPYA WA NJOMBE HAPO OKTOBA 18 MWAKA HUU.

Na Sunday Bavuga   NjombeWananchi Mkoani Njombe Wametakiwa Kujitokeza Kwa Wingi Kwenye Maonyesho ya Uzinduzi wa Mkoa wa Njombe Yanayoendelea Katika Uwanja wa Sabasaba Mjini Njombe.Wakiongea Kwa Nyakati Tofauti Baadhi ya Washiriki wa Maonyesho Hayo Wamesema Bado Mwamko wa Wananchi Kufika Kwenye Maonyesho Hayo ni Mdogo .Aidha Washiriki Hao Wamewataka Wananchi wa Mkoa wa Njombe na Mikoa ya Jirani Kufika Kwenye Maonyesho Hayo Ili Kujipatia Bidhaa Mbalimbali Zinazotengenezwa na Watanzania Wakiwemo Wajasiriamali.Maonyesho Hayo Yameanza Oktoba 11 Mwaka Huu na Kilele Chake Itakuwa Oktoba 18 Mwaka 2013 Siku Ambayo Itakuwa ya Uzinduzi Rasmi wa...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa