MKUTANO MKUU WA TATU WA PSPF WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Rais mstaafu wa awamu ya pili,Alhaj Ali Hassan Mwinyi, akizindua huduma mpya ya PSPF Pamoja nawe na PSPF call centre, itolewayo na mfuko wa Pensheni wa PSPF, baada ya kufungua Mkutano mkuu wa tatu wa wadau wa mfuko huo Feb 26.2014.  Mgeni rasmi Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Hassan Mwinyi, kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima, kulia kwake ni Ndugu Peter Ilomo aliyemwakilisha Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya PSPF George Yembesi, Mkurugenzi Mkuu PSPF, Adam Mayingu na Katibu Mkuu MPAIC, John Haule Wakurugenzi...

TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA WADAU WA PSPF

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF TANGAZO LA MKUTANO MKUU WA WADAU Mfuko wa Pensheni wa  PSPF unatangaza kwamba kutakuwa na Mkutano Mkuu wa tatu wa wadau utakaofanyika tarehe 26 na 27  Februari 2014 kuanzia saa mbili na nusu asubuhi hadi saa kumi jioni katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere uliopo barabara ya Shaban Robert  jijini Dar es salaam. Madhumuni ya Mkutano huu ni kutoa taarifa ya hesabu ya mwaka na utendaji wa Mfuko na kutathmini mafanikio na changamoto zinazokabili Mfuko na sekta ya Hifadhi ya Jamii kwa ujumla. “PSPF - TULIZO LA WASTAAFU” Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa Pensheni...

NANI WAMEIBA SH.480 BILIONI HAZINA

Tangu gazeti dada la The Citizen lichapishe mwishoni mwa wiki habari za upotevu wa Sh480 bilioni katika Wizara ya Fedha, Serikali imekaa kimya kama vile wizi huo ni tukio la kawaida, hivyo halihitaji maelezo ya kina wala ya haraka. Wananchi walitegemea kwamba Serikali ingetoa kauli haraka iwezekanavyo kuhusu mazingira ya upotevu huo na hatua inazochukua kuwawajibisha wahusika. Tunasema kiasi hicho cha fedha zilizoibwa ni kikubwa kwa sababu ni zaidi ya bajeti ya mwaka kwa baadhi ya wizara, zikiwamo wizara kubwa kama ya Uchukuzi ambayo katika mwaka wa fedha wa 2013/14, kwa mfano ilitengewa Sh491 bilioni. Tunaambiwa Sh480 bilioni zilizopotea katika Wizara ya Fedha zinaweza kujenga kilomita 375 za barabara kwa kiwango...

MKUU WA WILAYA YA NJOMBE ATEMBELEA SHULE YA MAKETE GIRLS

 Mkuu wa mkoa wa Njombe kapteni Mstaafu Aseri Msangi(katikati) akikagua majengo ya shule mpya wa wasichana wilayani Makete, kushoto ni mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro na kulia ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Daniel Okoka.  Ukaguzi huo ukiendelea.  Wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Msangi(hayupo pichani) akizungumza nao  Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akizungumza kwenye mkutano shuleni hapo  Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni Mstaafu Aseri Msangi akizungumza na wananchi shuleni hapo. ========  ======  ======= Habari/picha na  Edwin Moshi, Makete. Kufuatia ...

MVUA KUBWA ZINAZO ENDELEA KUNYESHA: MKUU WA MKOA WA NJOMBE AKWAMA KUTOKANA NA TOPE.

Gari la mkuu wa mkoa wa Njombe likiwa limekwama kwenye tope kijiji cha utweve makete.   Wadau wakisukuma gari hilo, na huyu ni mwenyekiti wa kijiji cha Utweve akijitahidi kusukuma.  Hali tete hapa, gari hilo likiwa limenasa mtaroni  wadau wakijitahidi kuvuta gari hilo  jitihada zikiendelea. Gari la mkuu wa mkoa wa Njombe, kapteni mstaafu Aseri Msangi limekwama kwa zaidi ya saa kadhaa katika kijiji cha Utweve wilayani Makete wakati akiwa ziarani kukagua maendeleo ya sekondari ya wasichana makete inayojengwa kijijini hapo Adha hiyo ilimkumba mkuu wa mkoa baada ya mvua kubwa kunyesha wakati akifanya mkutano...

Serikali yaanza kusaka masoko ya mazao

SERIKALI mkoani Njombe kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda na Biashara imeanza kutafuta ufumbuzi tatizo la ukosefu wa masoko ya uhakika kwa mazao ya kilimo ikiwemo viazi mviringo ambapo, ujenzi wa soko la kimataifa mjini Makambako utasaidia kumaliza tatizo hilo. Akisoma taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015 kwa kipindi cha miezi nane iliyopita, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Assery Msangi, alisema katika kipindi hicho pamoja na mafanikio yaliyopatikana mkoani hapa, bado kumekuwa na changamoto mbalimbali. Alitaja changamoto hizo kuwa ni pamoja na baadhi ya wakulima kukataa kutumia mbolea ya minjingu kwa madai ya kuwa haina ubora katika kilimo. Aliongeza kuwa, serikali inaendelea kuwahamasisha wakulima kuimarisha vyama vya ushirika wa mazao ili kuwa na...

NAIBU WAZIRI WA MAENDELO YA JAMII PINDI CHANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI RUDEWA.

   Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,Pindi Chana akimkaribisha Mama yake mzazi Regina Mlowe kuzungumza machache katika sherehe za kumkaribisha zilizofanyika katika ukumbi wa CCM wilaya ya Rudewa  Mama mzazi akiwashukuru wananchi wa Rudewa katika sherehe za kumkaribisha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,Pindi Chana.  baadhi ya wanachama wa CCM wakiwa katika sherehe za kumkaribisha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,Pindi Chana.  Mkuu wa Wilaya ya Rudewa Juma Solomon Madaha akizungumza wakati wa kumkaribisha Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na...

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AWAKUTANISHA POLISI NA MADEREVA WA BODABODA

 Kikao cha waendesha bodaboda kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete hii leo. Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akionesha kitabu cha polisi kwa ajili ya kutoza faini za makosa ya usalama barabarani. Mkuu wa polisi(OCD) wilaya ya Makete Alfred Kasonde akionesha risiti za faini ambazo zimetelekezwa na baadhi ya madereva ambao wengi wao wamekuwa wakilalamika kuwa fedha hizo zimeliwa na askari.  Meneja Msaidizi wa TRA Makete Hamis Zumba akifafanua jambo kwa madereva bodaboda Makete.  Dereva bodaboda aliyejitambulisha kama Alex akiuliza swali kwenye kikao hicho  Mwalimu...

Aamka asubuhi na kukuta miguu imekatika

  Mmkazi wa Ludewa, Mkoani Njombe Mmkazi wa Ludewa, Mkoani Njombe, Yohana Nkwera (54) anadai kukatika miguu katika hali ya kushangaza. Yohana anasema katika maisha yake amekuwa ni mwenye hofu kubwa baada ya kukumbwa na tukio hilo la aina yake la kukatika miguu akiwa usingizini. Anasema hadi sasa haelewi namna hasa tukio hilo lilivyomtokea, kwani hakuhisi maumivu yoyote . Anasema tukio hilo la aina yake lilimtokea mwaka 1992, lakini halikuwahi kuandikwa wala kutangazwa, badala yake ni watu wachache waliokuwa wakilifahamu. Anasema siku...

CCM wawapiga CHADEMA

Mbunge CCM aongoza mashambulizi KIKOSI cha ulinzi cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), wilayani Njombe, mkoani Iringa kimewashushia kipigo wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kumvunja taya mwanachama, Ally Kalonga. Licha ya kushusha kipigo hicho, Mkuu wa Polisi wilayani Njombe, Lucy Mwakafirwa, amelaumiwa kuwakumbatia watuhumiwa makada wa CCM, huku akiwasweka ndani wanachama wa CHADEMA. Akizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu kutoka eneo la tukio, mwananchi ambaye hakupenda jina lake litajwe, alisema kikosi cha CCM cha ‘Green Guards’ kilitoa...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa