PSPF YAZINDUA MPANGO MPYA WA UUZAJI NYUMBA KWA BEI NAFUU, SOMA HAPA KUJUA BEI ZAKE

Mfuko wa Pensheni wa PSPF unapenda kuutaarifu Umma kuwa umezindua Mpango Mpya wa uuzaji nyumba zake zilizojengwa kwa ajili ya makazi katika mikoa ya Dar es Salaam- Ilala (Buyuni), Morogoro (Lukobe), Tabora (Usule), Mtwara (Mang’amba), Shinyanga (Ibadakuli) na Iringa (Mawelewele). Bei za nyumba ni kati ya sh. 52,000,000.00 hadi sh. 71,000,000.00 (bila VAT). Bei hizi ni kulingana na ukubwa wa nyumba na mkoa nyumba ilipo.   Ukubwa wa nyumba ni kuanzia vyumba viwili hadi vinne. Chini ya utaratibu huu mpya unaoanza kutumika kuanzia Februari 2014; Muombaji atapaswa kuainisha kwenye fomu ya maombi aina ya nyumba anayohitaji na Mkoa ilipo.  Malipo...

Wajasiriamali 191 wapatiwa mafunzo Makambako

WAJASIRIAMALI zaidi ya 191 katika Halmashauri ya Mji wa Makambako wamepatiwa mafunzo ya nadharia na vitendo ya kutengeneza bidhaa mbalimbali.Mafunzo hayo yametolewa kwa muda wa siku sita na mkufunzi kutoka mkoani Morogoro Elisante Kazimoto ambaye alisema, kwa kipindicha mwaka 2013/14 ameshatoa mafunzo kwa wajasiriamali wasiopungua 680, katika mkoawa Njombe.Akizungumzia kuhusu mafunzo alisema kuwa nimuhimu kwa wajasiriamali kwani ni kati ya kazi ambazo zinaweza kuwakwamua na kuondokana na umaskini.Alisema kuwa mafunzo hayo yalihusu utengenezaji wa batiki, sabuni za mche na za maji za kuoshea sakafu, mishumaa, mapishi ya vyakula mbalimbali, pia wamejifunza kutotolesha vifaranga vya kuku kwa kutumianjia ya kawaida si mashine.Pia mafunzo hayo yalihusu jinsi ya kuotesha...

MH. MWIGULU NCHEMBA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA MKOA WA NJOMBE

Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Mwigulu Nchemba hii leo amekutana na Wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kuzungumza nao Kuhusu Wajibu wao wa Kulipa Kodi,Matatizo wanayokumbana naYo kwenye Biashara na namna ya Kuinua Uchumi wao kama Wafanyabiashara wadogo na wakubwa ndani ya Mkoa wa Njombe na Taifa kwa Ujumla.Sehemu ya Wafanyabiashara waliofika kwenye Ukumbi wa Turbo hapa Njombe mjini kwaajili ya Kuzungumza na Naibu waziri wa Fedha Mh;Mwigulu Nchemba.Kubwa zaidi linaloendelea hapa ni Mkutano wa Kubadilishana mawazo kati ya Naibu waziri,Viongozi wa Uchumi Mkoa,TRA na Taasisi mbalimbali za Uchumi pamja na Wafanyabiashara wa Mkoa huu...

NAIBU KATIBU MKUU(CCM-BARA)MH;MWIGULU NCHEMBA, AKUTANA NA WAZEE WA CCM WILAYA YA NJOMBE

Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh;MWigulu Nchemba akiwasili Ofisi za CCM Mkoa wa Njombe mapema hii leo asubuhi kusiani Kitabu na Kukutana na Wazee wa Chama Cha Cha Mapinduzi Wilaya ya Njombe(M).  Mh;Mwigulu Nchemba akiteta mambo mbalimbali na Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Njombe hii leo.Pia Mh;Mwigulu amepokea Salamu za Wazee Mkoa wa Njombe zililzotolewa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mh;Jah People (Japipo) za Kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Fedha ikiwa ni ishara ya Wazi kabisa kuwa Rais anaimani na Utendaji kazi wake na ni mwadilifu vya kutosha ndio maana akapewa Wizara Nyeti ya Fedha. Picha na Habari Kwanza Blog...

CHADEMA yawatoa hofu wafanyakazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wafanyakazi wa serikali na umma nchini kote kuondoa hofu ya kukosa ajira endapo chama hicho kitaingia madarakani baada ya Uchaguzi Mkuu mwakani. Hayo yamebainishwa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, katika hotuba zake kwenye mikutano tofauti ya Operesheni M4C Pamoja Daima inayoendelea nchini kote, yenye lengo la kuwaunganisha Watanzania kuelekea chaguzi zijazo, ukiwemo Uchaguzi Mkuu. Akifafanua zaidi kuhusu hofu iliyojengeka kwa wafanyakazi wengi nchini kutokana na propaganda zinazoenezwa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alisema kuwa kamwe chama hicho hakitawabagua au kuwaondoa kazini wafanyakazi wa serikali, kwa sababu tu walikuwa...

Chadema waanza kampeni za urais

Njombe. Viongozi mbalimbali wa Chadema wameanza kupiga kampeni za urais mwaka 2015 kupitia Operesheni Pamoja Daima. Akihutubia mamia ya wakazi wa Mkoa wa Njombe huku mvua kubwa ikinyesha jana, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa aliwatahadharisha vigogo wa Serikali wanaoiba fedha za umma kuwa, atawashtaki na kuwafilisi iwapo chama hicho kitashinda uchaguzi mwaka 2015. Alisema chama hicho kikishinda dola, kitaboresha masilahi kwa watumishi waadilifu lakini mafisadi wanaotafuna fedha za Serikali watapata wakati mgumu. “Tutakuwa wakali kwa walarushwa,” alisema Dk Slaa. Dk Slaa alisema watendaji walarushwa na wezi watashtakiwa ili mali walizowaibia...

Operesheni M4C Pamoja Daima yaunguruma Njombe na Chimara

  Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa akiwasili katika mji wa Chimara mkoani Mbeya, ambako alifanya mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika jana. Aliyekuwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Isitu, Chimara mkoani Mbeya, Felix Komba akizungumza katika mkutano wa Operesehni M4C Pamoja Daima mbele ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, baada ya katibu huyo kujiunga na Chadema wakati wa mkutano huo uliofanyika Chimara jana. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Cadema), Dk. Willibrod Slaa akimnadi mgombea udiwani...

PSPF YATOA PONGEZI KWA WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WA WIZARA YA FEDHA

MFUKO WA PENSHENI WA (PSPF)                         SALAMU ZA PONGEZI Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (MB)  Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mh. Adam K. Malima.  Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha; Mh. Mwigulu L. Nchemba. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wanatoa pongezi za dhati kwa Mhe. Saada Mkuya Salum (MB) kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha. Vile vile, PSPF inatoa pongezi kwa kuteuliwa kwao Naibu Mawaziri wapya wa Wizara ya Fedha; Mh. Mwigulu L. Nchemba (MB) na Mh. Adam K. Malima. Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi...

PSPF YATOA PONGEZI KWA WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WA WIZARA YA FEDHA

MFUKO WA PENSHENI WA (PSPF)                         SALAMU ZA PONGEZI Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (MB)  Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mh. Adam K. Malima.  Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha; Mh. Mwigulu L. Nchemba. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini na wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wanatoa pongezi za dhati kwa Mhe. Saada Mkuya Salum (MB) kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha. Vile vile, PSPF inatoa pongezi kwa kuteuliwa kwao Naibu Mawaziri wapya wa Wizara ya Fedha; Mh. Mwigulu L. Nchemba (MB) na Mh. Adam K. Malima. Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi...

MAOFISA WA AFYA NJOMBE WATAKIWA KWENDA KUFANYA UKAGUZI MITAANI

Diwani wa Kata Ya Mjimwema Jimmy Ngumbuke Uongozi wa Kata ya Mjimwema Mjini Njombe Umewataka Wananchi na Wafanyabiashara Mbalimbali Kuyaweka Mazingira Yao Katika Hali ya Usafi Hasa Katika Kipindi Hiki cha Mvua Ili Kuepuka  Magonjwa ya Mlipuko.Rai Hiyo Imetolewa na Diwani wa Kata Hiyo Jimmy Ngumbuke Kufuatia Baadhi ya Wananchi na Wafanyabiashara wa Maeneo ya Kata ya Mjimwema Kutupa Uchafu Ovyo Hali Inayotishia Afya za Wakazi wa Maeneo Hayo.Diwani Mgumbuke Ameuomba Uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe Kuwaagiza Wataalam wa Afya na Mazingira Kuyafanyia Ukaguzi Mara Kwa Mara Maeneo ya Biashara Zikiwemo Hoteli , Migahawa , Vilabu Vya Pombe za Kienyeji...

WAFANYABIASHARA WA SOKO KUU NJOMBE WALILIA MAJI NA UMEME

Wafanyabiashara wa Soko Kuu Mjini Njombe Wamerejea Tena Kauli Yao ya Kuutaka Uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe Kukamilisha Ukarabati wa Miundombinu ya Maji na  Umeme Ndani ya Soko Hilo. Akiongea na tovuti hii Sokoni Hapo Baadhi ya Wafanatbiashara Hao Wamesema Kuwa Kwa Muda Mrefu Wamekuwa Wakikabiliwa na Changamoto ya Ukosefu wa Huduma ya Umeme na Maji Hali Inayosababisha Soko Hilo Kuwa Chafu. Wakielezea Suala la Usafi  Ndani ya Soko Hilo Wamesema Kuwa Licha ya Kutoa Fedha Kwa Ajili ya Kuzoa Taka  Lakini Bado Zoezi la Kuzoa Taka Hizo Limekuwa Likichelewa na Kusababisha Mlundikano wa Taka na Harufu Mbaya Inayohatarisha Afya za Wafanyabiashara...

MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA(PSPF) UNAWATAKIA WATU WOTE SIKUKUU NJEMA MAULID

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF MAADHIMISHO YA SIKU YA KUZALIWA KWA MTUME MUHAMMAD (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wanaungana na Waisalamu na Watanzania wote katika kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) “PSPF TULIZO LA WASTAAFU” Mkurugenzi Mkuu, PS...

SALAM ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUTOKA MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA(PSPF)

SALAM ZA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUTOKA MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA(PSPF) JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) wanaungana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Ali Mohamed Sheni pamoja na wananchi wote wa Tanzania katika kuadhimisha miaka hamsini ya Mapinduzi ya Zanzibar, 12 Januari 2014.    Kwa Mahitaji yako ya Hifadhi ya Jamii PSPF ni chaguo lako, Jiunge sasa “PSPF TULIZO LA WASTAAFU” Mkurugenzi Mkuu, PS...

MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA(PSPF) WAOMBOLEZA MSIBA WA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA MAREHEMU DKT. WILLIAM A. MGIMWA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatoa salamu za rambirambi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Wizara ya Fedha na Familia ya aliyekuwa Waziri wa Fedha Marehemu Dkt. William A. Mgimwa Mfuko utamkumbuka kwa ushauri wake na ushirikiano aliouonyesha akiwa Waziri wa Fedha katika kufanikisha maendeleo na ustawi wa Mfuko. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMIN...

MFUKO WA PENSHENI KWA WATUMISHI WA UMMA(PSPF) WAOMBOLEZA MSIBA WA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA MAREHEMU DKT. WILLIAM A. MGIMWA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatoa salamu za rambirambi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Wizara ya Fedha na Familia ya aliyekuwa Waziri wa Fedha Marehemu Dkt. William A. Mgimwa Mfuko utamkumbuka kwa ushauri wake na ushirikiano aliouonyesha akiwa Waziri wa Fedha katika kufanikisha maendeleo na ustawi wa Mfuko. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMIN...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa