Home » » MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA MADEREVA BODABODA NA WAJASIRIAMALI MAKETE‏

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA MADEREVA BODABODA NA WAJASIRIAMALI MAKETE‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akitoa hotuba yake wakati akifunga mafunzo kwa madereva bodaboda wilayani Makete. Mafunzo hayo yametolewa na shirika la APEC
 Madereva bodaboda wakifurahia kupatiwa vyeti vya mafunzo hayo.
 Bi Rehebian Mahenge ambaye alikuwa katibu katika mafunzo hayo akisoma risala mbele ya mgeni rasmi
 Bi Mahenge akimkabidhi risala mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika mafunzo hayo
Mkuu wa polisi wilaya ya Makete Alfred Kasonde akitoa nasaha kwa wahitimu wa mafunzo hayo
 Mkuu wa wilaya akitoa hotuba yake
 Mkurugenzi wa APEC Bw. RespiciusTimanywa akitoa maelezo ya awali jinsi walivyoendesha mafunzo hayo na matarajio wanayoyategemea kutoka kwa wahitimu hao

 Miongoni mwa wahitimu wa mafunzo hayo ambaye pia ni askari polisi wilayaani Makete Afande Moses akipokea cheti chake
 Picha ya pamoja na mgeni rasmi
 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro akiteta jambo na Mkurugenzi wa APEC Bw. Respicius Timanywa mara baada ya kumaliza kufunga rasmi mafunzo hayo
 Baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Makete wakiwa kwenye picha ya pamoja
 wawezeshaji wa mafunzo hayo wakiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalam wilaya ya Makete

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa