Na Edwin Moshi, Makete
Kero
ya muda mrefu ya ukosefu wa maji katika shule ya msingi Ndulamo wilaya
ya Makete mkoani Njombe hatimaye imetatuliwa baada ya idara ya maji
wilayani hapo kuamua kutilia mkazo suala hilo
Akizungumza
na mtandao huu ofisini kwake mwalimu mkuu wa shule hiyo Bw. Bosco
Godigodi Malangalila (pichani) amesema maji yanapatikana kwa wingi
shuleni hapo baada ya kuyakosa kwa kipindi kirefu hali iliyokuwa inaleta
picha mbaya shuleni hapo.
Amesema
tatizo hili limeondoka shuleni hapo baada ya idara ya maji kupeleka
mabomba na kuyafunga kufidia yale ya awali yaliyokuwa yakivujisha...
Njombe wavalia njuga usafi wa mazingira
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:"Table Normal";
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
...
Waziri mkuu Pinda asema eneo la Ludewa litapata miradi muhimu ya kiuchumi.
Waziri mkuu wa Tanzania Mizengo
Pinda, amesema kuwa wawekezaji wapo hatua za mwisho kuanzisha uzalishaji wa
chuma na umeme katika eneo la Ludewa.
Kufuatia
kuanza kwa miradi hiyo, Pinda aliagiza Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kuandaa
wananchi kwa kutoa elimu kuhusu fursa, zilizopo za kazi katika eneo hilo.
Alisema
kazi ya Serikali hivi sasa ni kuhakikisha inajenga barabara kupitisha mitambo
inayotakiwa kwenye miradi hiyo na kwamba, tayari Sh7 bilioni za awali
zimetengwa kwa upanuzi wa barabara
Kuhusu
ujenzi wa barabara ya lami kutoka Itoni, Ludewa hadi Manda,
Waziri Pinda
alisema tayari Serikali imetenga fedha za upembuzi yakinifu, hivyo wananchi
wasiwe na wasiwasi kuhusu miundo mbinu.
Akizungumzia
sekta ya kilimo, Pinda alisema jembe la mkono haliwezi kumaliza matatizo ya
mkulima,...
Pinda ahimiza kilimo cha mazao ya biashara Njombe
WANANCHI wilayani makete Mkoani Njombe, wametakiwa kuboresha
mazao ya biashara ambayo yanastawi katika Wilaya hiyo,ili kukuza uchumi kupitia
rasiliamali walizo nazo.
Akizungumza na wananchi waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda ameagiza wananchi
kuimarisha mazao ambayo ni muhimili wa uchumi wao.
Amewaondoa shaka wakulima hao kuhusu wanunuzi wa zao la Pareto na kuongeza kuwa
kilimo cha matunda, Pareto vinapaswa kuboreshwa ili kuutumia vema fursa ya kilimo
katika uzalishaji mazao yanakubalika kimataifa.
Kambarage Sanga ni mkulima wa matunda anayemiliki ekari 3000 za matunda,
katika kijiji cha Iniho, akamweleza waziri mkuu jinsi anavyoendesha kilimo cha
matunda aina mbalimbali.
Baada ya kutembelea bustani ya miche ya matunda na kujionea shughuli za
uzalishaji zianazofanywa na wanakikundi...
Waziri Mkuu awaonya viongozi Wanging’ombe
Na Mwandishi Wetu, Wanging’ombe
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameipa Wilaya mpya ya Wanging’ombe mkoani
Njombe hadi mwisho wa mwezi huu kuhakikisha wanafunzi zaidi ya 800,
waliofaulu kuingia sekondari lakini hawajafanya hivyo, wawe shuleni.
Alikuwa akizungumza na wananchi katika Kijiji cha Ilemela katika
siku ya kwanza ya ziara ya wiki mbili katika Mikoa ya Njombe na Ruvuma.Ni
dhambi kubwa kuwaacha wanafunzi hao wawe nje ya shule kwa kuwa
wamefaulu na kwamba wenzao wengi wanaendelea na masomo na baadhi yao
wanaweza kuwa viongozi wa kesho, alisema.“Wasakeni hawa popote
walipo na mhakikishe wanakuwa shuleni badala ya kuzurura mitaani.
Nakuagiza DC (Mkuu wa Wilaya Esterina...
MHESHIMIWA PINDA ZIARANI MKOA WA NJOMBE
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (wapili kulia) wakikagua shamba la nanasi la Katibu Mkuu kiongozi Mstaafu, Philemon Luhanjo (kulia) katika kijiji cha Madeke wilayani Makambako wakiwa katika ziara ya Mkoa wa Njombe Julai 10,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia kwakena ) wakikagua shamba la nanasi la Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu, Philemon Luhanjo (kulia) katika kijiji cha Madeke wilayani Makambako wakiwa katika ziara ya Mkoa wa Njombe Julai 10,2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivuna nanasi katika shamba la Katibu Mkuu Mstaafu, Philemon Luhanjo (katikati) lililopo katika kijiji cha Madeke wilayani Makambako akiwa katika...
UJENZI WA TANKI LA MAJI SHULE YA MSINGI MAULU MAKETE UNAKARIBIA KUMALIZIKA
Kwa
mbali utawaona wananchi wakiangalia ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji
linalojengwa katika shule ya msingi Maulu kata ya Kipagalo wilayani
Makete, kutokana na shule hiyo kukumbwa na uhaba wa maji hasa wakati wa
kiangazi hali inayopelekea wanafunzi kupata tabu ya kujisaidia kutokana
na vyoo kutumia maji. Ujenzi huo umefadhiliwa na AMREF
Hapa mafundi wakiwa kazini kama uonavyo
bado kidogo tuu ujenzi huo utakamilika
Jamaa
hasubiri apikiwe, hapa aliamua kuingia jikoni mwenyewe kujipikia ugali
kwa ajili yake na mafundi wenzake wanaojenga tanki hilo
Picha zote na Edwin Mos...