Home » » UJENZI WA TANKI LA MAJI SHULE YA MSINGI MAULU MAKETE UNAKARIBIA KUMALIZIKA

UJENZI WA TANKI LA MAJI SHULE YA MSINGI MAULU MAKETE UNAKARIBIA KUMALIZIKA


 Kwa mbali utawaona wananchi wakiangalia ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji linalojengwa katika shule ya msingi Maulu kata ya Kipagalo wilayani Makete, kutokana na shule hiyo kukumbwa na uhaba wa maji hasa wakati wa kiangazi hali inayopelekea wanafunzi kupata tabu ya kujisaidia kutokana na vyoo kutumia maji. Ujenzi huo umefadhiliwa na AMREF
 Hapa mafundi wakiwa kazini kama uonavyo
 bado kidogo tuu ujenzi huo utakamilika
Jamaa hasubiri apikiwe, hapa aliamua kuingia jikoni mwenyewe kujipikia ugali kwa ajili yake na mafundi wenzake wanaojenga tanki hilo
Picha zote na  Edwin Moshi

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa