TUSHIRIKIANE KUWAWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI - NAGU

  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu.   Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu, amesema kazi ya kuwawezesha wananchi kiuchumi si ya serikali pekee hivyo wadau malimbali na taasisi za fedha zinapaswa kutumia sehemu ya faida yake kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.   Aliyasema hayo ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana wakati wa kikao cha kazi baina yake na Wajumbe wa Baraza la Uwezeshaji la Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), akiwamo Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Beng’i  Issa na Mwenyekiti wa Bodi, Omari Issa.   Baadhi...

AIBU NYUMBA ZA WAKUBWA KUTUNZA MIHADARATI

Tanzania imekuwa katika vita ngumu ya kupambana na matatizo mbalimbali yanayoisumbua, yakiwamo ya kiuchumi, kijamii na hata kisiasa. Katika baadhi ya nyakati, matatizo hayo yamegeuka kuwa kikwazo kwenye azma ya kuwapa maendeleo na ustawi wananchi. Pamoja na matatizo hayo, siku za karibuni na pengine miaka michache iliyopita, biashara za dawa za kulevya imegeuka adui anayeichachafya nchi. Kwa kiasi kikubwa, biashara hii ambayo inaonekana dhahiri kuwa inahusisha wengi, wakiwamo watu wazima na hata watoto na wengine vijana wasomi wazuri, imegeuka vita ambayo kama nchi ijihesabu kuwa imeshindwa kuidhibiti. Hatuchelei kusema nchi yetu imeshindwa vita...

SIMU ZINAVYOSHAWISHI MAPENZI KWA WANAFUNZI

Tangu teknolojia ya mawasiliano ya simu za mkononi ilipoingia nchini, mambo mengi katika jamii, ukiwamo mfumo mzima wa maendeleo na namna ya kuishi, yamebadilika. Teknolojia hiyo imeondoa usumbufu uliokuwapo awali, mtu alikuwa analazimika kukaa muda mrefu kusubiri kuunganishiwa simu posta na baadaye katika Kampuni ya Mawasiliano ya Simu Tanzania (TTCL). Hata baada ya kupata mawasiliano bado usikivu ulikuwa hafifu licha ya kupiga kelele sana. Si hivyo tu, watu walikuwa wanalazimika kufika mjini au miji maarufu kwa ajili ya kusaka mawasiliano ya simu. Pia, wengi walikosa. Kutokana na gharama kubwa ya simu wakati ule, haikuwa rahisi kwa wanafunzi kuzifikia. Wale waliomudu kupiga...

FAMILIA YA MSWEMWA YATUMIA MILIONI 100 KUSAIDIA JAMII YA WANANJOMBE‏

Mkurugenzi  wa Hotel ya  Miriam Njombe  Bw Ditram Msemwa wa sita  kushoto akimpongeza  Bw Ngamanga  kwa  uzinduzi wa  kitabu  chake Mkurugenzi  wa  Hotel ya  Miriam Njombe Bw Ditram Msemwa akizungumza katika hafla ya  kufunga mwaka Baadhi ya  vijana  wanaonufaika na fursa   hiyo Baadhi ya  wanafamilia na  wadau mbali  mbali washiriki  wakifuatilia hafla  hiyo Mkurugenzi wa taasisi ya  Mafanikio  foundation for  personal development na  mratibu  wa raslimali watu Bw Michael uhahula akitoa  maelezo ...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa