Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Naibu
Waziri Dk. Kigwangalla akikagua mahabara ya hospitali hiyo ambayo
alikutana na matatizo mbalimbali ikiwemo mashine na vifaa kutotumika
ipasavyo na kuagiza uongozi wa kufanya maboresho ndani ya miezi mitatu
huku akiahidi kuifungia endapo itashindwa kutekeleza maagizo hayo.
Naibu
Waziri wa Afya, Dk Kigwangalla akiangalia moja ya maeneo ya wodi hizo
ambapo alikuta hali ya uchafu pamoja na kuwa na mpangilio mbovu wa namna
ya utoaji wa huduma.
Dk.
Kigwangalla akitoa maelezo kwa Mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa wa
Njombe-Kibena,...
KIPINDUPINDU CHAINGIA PAWAGA, 20 WALAZWA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
WAKAZI wa Kijiji cha Mbolimboli Kata ya Pawaga wilayani Iringa, wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu.
Hadi jana watu 20 waliripotiwa kuwekwa karantini, wakiugua ugonjwa huo.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk
Robert Salim alisema ugonjwa huo umelipuka baada ya eneo hilo kukumbwa
na mafuriko.
“Mafuriko hayo yamesababisha uchafu wa vyoo vilivyobomoka na mwingine
kusambaa hadi katika visima vya maji yanayotumiwa na wakazi wa eneo
hilo,” alisema Dk Salim.
Aliongeza kuwa wagonjwa hao 20,...