ERIC SHIGONGO: NENDA KAMANDA WANGU DEO‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake. Nakupenda Deo Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka. Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili. Nasema kutoka ndani ya moyo wangu, taifa limepoteza mtu...

MCHUNGAJI MTIKILA AZIKWA ,FILIKUNJOMBE JAJI MUTUNGI WATOA YA MOYONI HELKOPTA YA FILIKUNJOMBE YAWA KIVUTIO‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.   Mwenyekiti  wa CCM wilaya ya  Ludewa Bw Stanley Kolimba  akiweka shada la maua katika kaburi ya mwenyekiti wa DP mchungaji Mtikila leo  Viongozi  wa kitaifa wa DP na  mkoa wa Iringa na Njombe wakiwa katika kaburi la Mtikila  Mmiliki wa mtandao huu wa matukiodaima Bw Francis Godwin  wa pili kushoto akimhoji Live kupitia radio Country Fm naibu katibu mkuu wa DP Taifa Bw Abduli Mluya juu ya kifo cha Mtikila  Wananchi  wa kijiji cha Milo Ludewa wakitazama Chopa aliyotumia...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa