Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Abiud Gamba mmoja wa menejimenti ya ACTN
Mkurugenzi wa ACTN Said Komwa
Washiriki wa mafunzo ya kuboresha kilimo mikoa mitatu ya
Njombe, Ruvuma na Iringa
WAKULIMA
kutoka katika vikundi mbalimbali kutoka halamashauri za Namtumbo wilaya
ya Songea Mkoani Ruvuma, Ludewa Mkoani Njombe na halmashauri ya Mufindi
Mkoani Iringa wametakiwa kuhakikisha wanahifadhi vizuri mazao yao ili
kuingiza katika ushindani wa soko la mazao yao na kuhakikisha
wanasafisha na kukausha vizuri.
Wito
huo umetolewa na Frank...
WANANCHI LUDEWA WAMZOMEA MGOMBEA UBUNGE AOKOLEWA KUPIGWA KISA UONGO KUMTUKANA FILIKUNJOMBE
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
kada wa CCM anayeomba kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Ludewa kepten mstaafu Jacob Mpangala ambae leo amezomewa mkutanoni na kuokolewa kichapwa baada ya kujinadi kwa kutumia lugha za matusi na uongo dhidi ya mbunge Deo Filikunjombe
mbunge Filikunjombe akiwapungia mkoano wananchi wa mndindi baada ya kujinadi
wananchi wa kata ya Ibumi wakiwa wametuliwa wakimsikiliza kwa makini mbunge Filikunjobe wakati akiomba kura zao
Filikunjombe akisisitiza jambo...
MTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC ,ASEMA HATAKI TENA KUGOMBEA
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
aliyeshindwa ujumbe wa NEC Ludewa Injinia Zephania Chaula akiangana na mbunge Deo Filikunjombe baada ya kushindwa katika nafasi hiyo ,Chaula alikuwa ni mmoja wa wana CCM waliokuwa wakitaka kuwania ubunge jimbo la Ludewa
Chaula akiagana na mshindi mzee Nkwera
Mkuu wa wilaya ya Ludewa Antonia Choya akimkabidhi hati ya shukrani mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe (kushoto)
Mjumbe wa mkutano huo Bw Choya akipiga ...