Wakulima watataelimu ya kuboresha mazao, kilimo mikoa mitatu ya nyanda za ju kusini

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.   Abiud Gamba mmoja wa menejimenti ya ACTN  Mkurugenzi wa ACTN Said Komwa Washiriki wa mafunzo ya kuboresha kilimo mikoa mitatu ya  Njombe, Ruvuma na Iringa WAKULIMA kutoka katika vikundi mbalimbali kutoka halamashauri za Namtumbo wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma, Ludewa Mkoani Njombe na halmashauri ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuhakikisha wanahifadhi vizuri mazao yao ili kuingiza katika ushindani wa soko la mazao yao na kuhakikisha wanasafisha na kukausha vizuri. Wito huo umetolewa na Frank...

WANANCHI LUDEWA WAMZOMEA MGOMBEA UBUNGE AOKOLEWA KUPIGWA KISA UONGO KUMTUKANA FILIKUNJOMBE‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  kada wa CCM anayeomba  kuteuliwa  kugombea ubunge jimbo la Ludewa kepten mstaafu Jacob Mpangala ambae leo amezomewa mkutanoni na kuokolewa  kichapwa baada ya kujinadi kwa kutumia lugha za matusi na uongo dhidi ya mbunge Deo  Filikunjombe  mbunge Filikunjombe akiwapungia mkoano  wananchi wa mndindi baada ya  kujinadi wananchi wa kata ya Ibumi  wakiwa  wametuliwa wakimsikiliza kwa makini mbunge Filikunjobe wakati akiomba  kura  zao Filikunjombe  akisisitiza jambo...

MTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC ,ASEMA HATAKI TENA KUGOMBEA‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. aliyeshindwa ujumbe wa NEC Ludewa Injinia Zephania Chaula  akiangana na mbunge  Deo  Filikunjombe baada ya  kushindwa katika nafasi  hiyo ,Chaula alikuwa ni mmoja wa wana CCM waliokuwa  wakitaka kuwania ubunge jimbo la Ludewa Chaula akiagana na mshindi mzee Nkwera   Mkuu  wa wilaya ya  Ludewa Antonia Choya akimkabidhi  hati ya  shukrani mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe (kushoto)  Mjumbe  wa  mkutano huo Bw  Choya  akipiga ...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa