Home » » SERIKALI YAOMBWA KUWEZESHA ASASI NDOGO

SERIKALI YAOMBWA KUWEZESHA ASASI NDOGO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

WAJAS IRIA MALI zaidi 191 katika Halmashauri ya Mji wa Makambako wamepatiwa mafunzo ya nadharia na vitendo yakutengeneza bidhaa mbalimbali.

Mafunzo hayo yametolewa kwa muda wasiku sita namkufunzi kutoka mkoani Morogoro Elisante Kazimoto ambaye alisema,kwa kipindi cha mwaka 2013/14 ameshatoa mafunzo kwa wajasiriamali wasiopungua 680, katika Mkoa wa Njombe.

Akizungumzia kuhusu mafunzo alis emakuwa nimuhimu kwa wajasiriamali kwani ni kati ya kazi ambazo zinaweza kuwa kwamua na kuondokana naum askini.

Alisema kuwa mafunzo hayo yalihusu utenge nezaji wabatiki, sabuni zamche na zamaji,zakuoshea sakafu,mishumaa ,mapishi ya vyakula mbalimbali,pia wamejifunza kutotolesha vifaranga vya kuku kwa kutumia njia ya kawaida si mashine.

Pia ma funzo hayo yalihusu jinsi yakuotesha uyoga, kutengeneza viatu vya ngozi (Kimas ai)najinsi yakutengeneza mafuta ya mgando, na bidhaa nyinginenyingi,ambapo mafunzo hayo yamewajengea uwezowa kufanya kazi zauzalishaji kwa manufaa ya kuinua uchumi wao .

Kati ya wadau hao wa Zena Mnyika ni mm ojawapo wa wanufaika wamafunzo hayo alis ema, kutokana na mafunzo hayo,uwezeka no wakupata mabadiliko makubwa kiuchumi upo kwa sehemu kubwa na hivyo hali ya utegemezi kwa baadhi ya wanawake itapu ngua.

Bi. Zena alisema pamoja na mafanikio hayo kuna tatizo ambalo kama halitatatuliwa kwa wajasiriamali hao mafunzo kwa ujumla ya takuwa hayana manufaa na kuishia kuwa na kumbukumbu za kwenye daftari.

"Nikweli mafunzo haya yametupa mwelekeo wa maisha wengi hatukuwa nachochote kati kaujuzi,lakini mafunzo haya yanahitaji malighafi na mitaji wanawake wengi hatuna mitaji ya kutosha kuweza kuendesha miradi inayoibuliwa kupitia mafunzo haya," alisema Bi.Zena.

Kupitia gazeti hili aliiomba serikali kutoa hamasa kwa asasi za kifedha za kiserikali nazisizokuwa zakiserikali kuanga lia uwezekano wakuwapa mikopo wajasiriamali wadogowado goiliwaweze kujikwa muaki uch umi nakuongezau za lisha jinakukuza pato la Taifa lakini pia kwa kuongeza pato la kaya.

Mafunzo hayo yamelenga kuwapa uelewa wananchi ambao mitaji yao ni ya chini; na kwamba mchakato uliopo nikuwafikia w anawake au wajasiriamali wengi zaidi katika mikoa mbalimbali ikiwepo Kanda ya Kati Kanda ya Kusini mafunzo ambayo yanatarajiwa kutolewa ndani ya mwaka 2014

Chanzo;Majira

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa