HII NAYO NOMA: KIJANA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA NGURUWE WILAYANI LUDEWA, SOMA HAPA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Kijana mmoja aitwaye Simon Dustan Mwanjavala maarufu kama Mwachakala (15) mkazi wa kijiji cha Mbwila kata ya Luana wilaya ya Ludewa mkoani Njombe amefariki dunia muda mchache baada ya kukutwa akifanya mapenzi na Nguruwe. Tukio hilo la kustaajabisha limetokea leo wilayani Ludewa baada ya kijana huyo "kufumaniwa" akifanya mapenzi na mnyama huyo, ndipo walipomkamata na kumfunga kamba mikono yake na miguu ili asikimbie. Baada ya majirani kumuona kijana huyo akimbaka nguruwe huyo kwenye banda la mnyama huyo walikwenda kumwambia...

PHILIP FILIKUNJOMBE AOMBEWA USHINDI KURA ZA MAONI UBUNGE LUDEWA‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.    Na Matukiodaima Blog , Ludewa WAKATI wanachama wa  chama  cha mapinduzi (CCM)  jimbo la  Ludewa mkoani  Njombe  kesho jumanne wanapiga kura za maoni  ili  kumpata mgombea wa  ubunge atakayezipa pengo  lililoachwa  wazi na aliyekuwa mbunge wa  jimbo  hilo kwa  kipindi  cha miaka  mitano iliyopita na na mgombea  ubunge marehemu Deo Filikunjombe  ,wananchi wa  jimbo  hilo wameomba wajumbe wa CCM kurudisha  jina la...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa