WAZIRI MKUMBO ATEMBELEA KIWANDA CHA KUSINDIKA PARACHICHI NJOMBE.

NJOMBE – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo,  tarehe 24 Machi,2025 alifanya ziara mkoani Njombe ambapo, aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, alitembelea Kiwanda cha Muricado Fruit Supplies kujionea uwekezaji mkubwa unaofanyika katika kuongeza thamani ya zao la parachichi.Akizungumza baada ya kutembelea kiwanda hicho, Mhe. Prof. Mkumbo alimpongeza muwekezaji kwa juhudi zake katika kukuza sekta ya viwanda na kilimo. "Huu ni uwekezaji wenye tija kwa wakulima wa parachichi na uchumi wa taifa kwa ujumla. Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa ndani ili kuhakikisha viwanda vya...

WAZIRI JAFO APONGEZA JITIHADA ZA MBUNGE WA MAKAMBAKO

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo(Katikati) alipotembelea Hospital ya Mji wa Makambako. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo akisalimia na Muuguzi wa Hospital ya Mji wa Makambako alipotembelea Hospital hiyo kukagua utoaji wa uduma za Afya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe.Lucy Msafiri wakati wa ziara yake katika Hospital ya Mji wa Makambako. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo katika Picha ya pamoja ...

MBUNGE:WAJASIRIAMALI ANZENI KUSAFIRISHA CHIPS

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mbunge wa Njombe Mjini, amewataka wajasiriamali wadogo mkoani Njombe kuwekeza kwenye viwanda vidogo vidogo na kuanza kusafirisha viazi ambavyo tayari vimecharagwa chips ili kuepuka kulaliwa na wafanyabiashara wanaolazimisha kufunga lumbesa za viazi. Edward Mwalongo amesema hayo akiwa anaongea na baadhi ya wajasiriamali mkoani humo ambao wameanzisha kiwanda kidogo cha kumenya viazi na kucharanga chips na kudai kuwa wana Njombe wanapaswa kuvitumia viazi kama malighafi yao ambayo inaweza kuwaletea viwanda vingi vidogo vidogo. "Viazi...

MBUNGE MGAYA AWASAIDIA WANAWAKE VYEREHANI 370 NJOMBE

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe Neema Mgaya (katikati mstari wa mbele) akiwa na baadhi ya wanawake aliowakabidhi vyerehani 370 vyenye thamani zaidi ya Shilingi Milioni 90 Halmashauri ya Makambako Mkoani Njombe ili wajikwamue kiuchumi. Mbunge wa Viti Maalum CCM mkoa wa Njombe, Neema Mgaya (mbele) akiwa na baadhi ya wanawake aliowakabidhi vyerehani 370 vyenye thamani zaidi ya Shilingi Milioni 90 Halmashauri ya Makambako Mkoani Njombe ili wajikwamue kiuchumi. Baadhi ya vyerehani 370 vyenye thamani zaidi ya Shilingi Milioni 90...

WAKULIMA 206 WAPATA MAFUNZO YA KILIMO CHA CHAI KUTOKA NOSC

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji mkoa wa Njombe Bwana Lameck Noah(wapili kushoto) akikabidhi cheti bwana Thiemo Msewa(kulia) katika hafla ya kufunga mafunzo kwa wakulima wa chai(farmer field school) mkoani humo yaliyoratibiwa na Kampuni ya kuhudumia wakulima wadogo Njombe(NOSC). Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo wakulima katika kilimo cha chai na mazao mengine. Wapili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NOSC, Bwana Filbert Kavia. Watatu kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Ruth Msafiri  Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na...

JUKWAA LA HAKI JINAI LATEMBELEA MAGEREZA NA VITUO VYA POLISI IRINGA,NJOMBE NA RUVUMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka akiongea na wataalamu wa Jukwaa la haki jinai nchini ambao walioongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof Sifuni Mchome  walipoanza ziara ya kutembelea magereza na vituo vya polisi mkoani humo. Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Amina Masenza akiwakaribisha ofisini kwake  wataalamu wa Jukwaa la haki jinai nchini ambao walioongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof Sifuni Mchome mjini Iringa walipoanza ziara...

TAMASHA LA TIGO FIESTA LAACHA GUMZO MKOANI NJOMBE

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Wasanii wa kizazi kipya wa kundi la Rostam wakiwa kwenye staili ya aina yake kwenye jukwaa la tamasha la  Tigo Fiesta lililofanyika uwanja wa sabasaba mjini Njombe usiku wa kuamkia jumamosi. Msanii Ommy Dimpoz akitoa burudani kwenye jukwaa la tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika  uwanja wa sabasaba mjini Njombe usiku wa kuamkia jumamosi. Aslay akiimba kwa hisia mapema wiki iliyopita katika jukwaa la Tigo Fiesta Mkoani Njombe Wasanii Jux, Nandy, Ben Pol na Maua Sama walipanda pamoja na kuimba  nyimbo...

NENO LA UKARIBISHO KUTOKA KWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA NJOMBE MJI MH. EDWIN MWANZINGA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mhe.. Edwin Mwanzinga Mwenyekiti wa Halmashauri Kwa niaba ya Watumishi na Wananchi wote wa Halmashauri ya Mji Njombe ninayofuraha kubwa  kukukaribisha katika tovuti hii ambako tunaimani kubwa utapata taarifa za kuaminika na shughuli zinazofanyika katika Halmashauri ya Mji Njombe.Kama taasisi ya Serikali tunaamini katika uwazi,ukweli na uwajibikaji kwenye utendaji wetu wa kila siku. Aidha kwa kutambua umuhimu wa wateja  tunaowahudumia zipo taarifa na fomu mbalimbali ambazo zinakuwezesha...

TARSIER: MNYAMA MWILI MDOGO, MACHO MAKUBWA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  WATU wengi husema kwamba mnyama huyu ana sura nzuri; hata hivyo wengine husema kwamba ana sura ya ajabu. Ana miguu myembamba, manyoya laini, na macho makubwa yanayong’aa. Pia, ana urefu wa sentimita 12.5 na uzito wa gramu 114. Ni mnyama gani huyo? Anaitwa tarsier!  Acheni tumchunguze tarsier wa Ufilipino. Kwa sababu ana mwili mdogo sana—macho yake, masikio, mikono, miguu na mkia huonekana mikubwa sana. Hata hivyo, ukimchunguza kwa makini utagundua jinsi alivyoumbwa kwa njia ya pekee sana. UWEZO WA KUSIKIA: Masikio yake membamba...

AFYABANDO KAMPENI KUWAKOMBOA WATANZANIA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mtaalam Mwelekezi wa Afyabando-Nordic Foundation Tanzania, Dkt. Respicius Salvatory akiongea na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Septemba 3 2017, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya kujishindia kadi ya bima ya Afya ijulikanayo kama ‘AfyaBando’. Kulia ni Afisa Mwandamizi Mipango na Utawala wa Taasisi ya Nordic, Maria Nimrod na Afisa Tehama wa Taasisi hiyo, Dickson Leonard.Afisa Mwandamizi Mipango na Utawala wa Taasisi ya Nordic, Maria Nimrod akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya kujishindia...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa