Home » » KAMPUNI YA BIA YA MABIBO KUPITIA BIA ZAKE ZA WINDHOEK LAGER NA WINDHOEK DRAUGHT YAJITOSA KUINUA UCHUMI WA MKOA KAGERA

KAMPUNI YA BIA YA MABIBO KUPITIA BIA ZAKE ZA WINDHOEK LAGER NA WINDHOEK DRAUGHT YAJITOSA KUINUA UCHUMI WA MKOA KAGERA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr.James Rugemalira akizungumza na wadau mbalimbali wa mjini Bukoba wakati wa Promosheni ya bia za Windhoek Lager na Windhoek Draught katika sherehe za kuadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Kampuni hiyo zilizofanyika Hoteli ya New Coffee Tree Inn mjini Bukoba leo usiku. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com simu namba 0712-727062)
 Fr.James Rugemalira (katikati), akisisitiza jambo
 kwenye promosheni hiyo. Kutoka kushoto ni Mganga
 Mkuu wa Halmsahauri ya Wilaya ya Bukoba, Hamza
 Mugura, Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya
 inayofanya shughuli zake mjini Bukoba ya KADETFU,
Yusto Muchuruza, Mshauri wa Fr.James, Enic Kashasha
 na Andrew Kailembo.
 Wadau wakiwa kwenye promosheni hiyo.
 Mrembo huyu mnywaji wa Windhoek naye
 alikuwepo kwenye promosheni hiyo.
Mshereheshaji wa Promosheni hiyo, Andrew Kagya,
 akiwajibika.

 Meneja Mauzo wa Kanda ya Ziwa, Godfrey Mwangungulu, akielezea ubora wa Bia za Windhoek.

Mdau wa Windhoek akifuatilia matukio yote kwa karibu.
 Hakika imependeza.

Fr.James Rugemalira (katikati), akiwa meza kuu na viongozi mbalimbali.  Kutoka kushoto ni Mwanasheria Mwandamizi wa Serikali mkoani Bukoba, Sakina Husein Sinda,Mganga Mkuu wa Halmsahauri ya Wilaya ya Bukoba, Hamza Mugura, Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya inayofanya shughuli zake mjini Bukoba ya KADETFU, Yusto Muchuruza, Mshauri wa Fr.James, Enic Kashasha na Andrew Kailembo, Mmiliki wa Walkgard Hoteli, Adventina Matungwa na Dk.Julius Zelothe.


 Wanahabari wakiwa kwenye promosheni hiyo.
 Wadau wakiwa kwenye promosheni hiyo
Promosheni imenogaaaa.
 Wadau wakiwa kwenye promosheni hiyo.
 Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya inayofanya shughuli zake mjini Bukoba ya KADETFU, Yusto Muchuruza,akichangia mada katika promosheni hiyo.
Hapa Windhoe imependezaaa ni tamuuuuuuu
 Wadau wakipata kinywaji cha Windhoek katika promosheni hiyo.


 Meza kuu hiyoooo, wanachangamkia Windhoek.
Ma DJ wakiwajibika katika promosheni hiyooo.(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com simu namba 0712-727062).

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa