Home » » TANGAZO MUHIMU KWA WAHITIMU WOTE WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) , WANAALIKWA KWENYE MKUTANO 4 OKTOBA 2014

TANGAZO MUHIMU KWA WAHITIMU WOTE WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) , WANAALIKWA KWENYE MKUTANO 4 OKTOBA 2014


C H U O   C H A   E L I M U   Y A   B I A S H A R A (CBE)

CHINI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA”
MKUTANO WA CBE ALUMNI MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI



         KAMPASI YA MBEYA
Mkuu wa Kampasi ya Chuo cha Elimu ya Biashara CBE Mbeya, Dionize A. Lwanga , Akizungumzia Mikakati na maandalizi ya awali ya Kutimiza Miaka 50 ya Chuo hicho, na Mkutano Mkubwa utakaofanyika Mwezi Octoba ambao utawakutanisha wanafunzi wote waliowahi kusoma chuo hicho ili kujadiliana mambo kadha wa kadha wakati wanajiandaa na miaka hiyo 50 na kutengeneza Alumni Association.
 Afisa Taaluma wa Chuo cha Elimu ya Biashara CBE Kampasi ya Mbeya akizungumza Jambo wakati wa Majadiliano juu ya maandalizi ya Kikao cha mwezi Octoba.
Mkufunzi Msaidizi wa Chuo cha Elimu ya Biashara CBE Kampasi ya Mbeya Akizungumza jambo wakati wa mazungumzo mafupi juu ya Maandalizi ya mkutano huo utakaofanyika Octoba
Majadiliano yakiwa yanaendelea




MKUU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA ANAWATANGAZIA WAHITIMU WOTE WA MIAKA YA NYUMA NA WA SASA WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA WANAOISHI KATIKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA WANA JUMUIA YA CBE (CBE ALUMNI) UTAKAOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 4, 10, 2014 KATIKA VIWANJA VYA MBEYA HOTEL, JIJINI MBEYA, KUANZIA SAA 7.00 MCHANA. BAADA YA MKUTANO KUTAKUWA NA CHAKULA CHA PAMOJA.

MIONGONI MWA MAMBO YATAKAYOFANYIKA SIKU HIYO NI PAMOJA NA:

1)      KUUNDA ALUMNI ASSOCIATION KWA NYANDA ZA JUU KUSINI

2)      KUCHAGUA VIONGOZI WA ALUMNI ASSOCIATION WA KANDA

3)      KUPATA TAARIFA YA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA CBE

4)      MADA KUHUSU MCHANGO WA CBE KATIKA KUENDELEZA BIASHARA NCHINI

5)      MADA KUHUSU CBE ILIPOTOKA, ILIPO KWA SASA NA CBE IJAYO

6)      KUBADILISHANA UZOEFU NA MAWAZO (NETWORKING)

MADA HIZI ZITAWASILISHWA NA WAKUFUNZI, WAHITIMU, WANAFUNZI NA WADAU WENGINE WA CBE.

TAFADHALI, UPATAPO TAARIFA HII MJULISHE NA MWENZIO.

 PAMOJA TUNAWEZA

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA MKUU WA KAMPASI YA MBEYA

BARUA PEPE: dir.mbeya@cbe.ac.tz

Simu                 :025- 2500571
                          :0654- 878704, 0717 -288874, 0655- 080858






C H U O   C H A    E L I M U    Y A    B I A S H A R A (CBE)


CHINI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA”

KAMPASI YA MBEYA



NAFASI ZA KUJIUNGA NA MASOMO NGAZI YA ASTASHAHADA (CERTIFICATE) NA STASHAHADA (DIPLOMA) KWA MWAKA WA MASOMO 2014/2015 KATIKA FANI ZIFUATAZO:


  • Uhasibu ( Accountancy)
  • Masoko (Marketing Management)
  • Ununuzi na Ugavi (Procurement & Supplies Management)
  • Usimamizi wa Biashara (Business Administration)

1.  Fomu za kujiunga zinapatikana Chuoni Jengo la chuo kikuu Huria ( Kituo cha Mbeya) Forest ya zamani, CBE DAR ES SALAAM, CBE DODOMA, CBE MWANZA au   Bofya hapa Chini Ku Download


2. Wahitimu wa kidato cha nne wenye ufaulu usiopungua D nne watajiunga moja kwa moja.

3. Kujiunga na stashahada (diploma) wahitimu wa kidato cha sitwenye    ufaulu usiopungua Principal pass moja, subsidiary pass mbilAu wenye    astashahada husika yaani (certificate) kutoka Chuo kinachotambuliwa na NACTE



Masomo kwa ngazi zote yanatolewa kuanzia asubuhi hadi jioni (FULL TIME)  na jioni (EVENING PROGRAM) jumatatu hadi ijumaa.


Ewe mwananchi jiunge na chuo chenye uzoefu wa zaidi ya miaka 49 katika elimu ya Biashara, Ujasiriamali, Ushauri na Utafiti.


Tunaendelea kupokea maombi ya kujiunga katika ngazi zote



Kwa maelezo zaidi piga  simu namba, 0654-878704 / 0767-288874

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa