Home » » MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA MAKETE‏

MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA MAKETE‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe, baadhi ya barabara zimeharibika vibaya na kusababisha kero kwa watumiaji wa barabara hizo. 

Pichani ni hali ya barabara ya Tanesco iliyopo Makete mjini inavyoonekana ikiwa imejaa mashimo na tope kwa wingi, huku vifusi vya kuikarabati vikiwa vimelundikwa pembeni na kazi ya kuikarabati kushindwa kufanyika kutokana na mvua nyingi zinazonyesha wilayani hapo.(Picha na Edwin Moshi)

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Njombe Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa